Mbogwe walia na mitandao ya simu

GEITA: UONGOZI wa Halmashauri ya Mbogwe imelia na changamoto ya mitandao ya simu ambayo inasababisha kudhohofu kwa utendaji wao.
Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe Sakina Mohamed akielezea changamoto za wilaya hiyo kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ambaye yupo wilayani humo kwa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo amesema kutokuwepo kwa mitandao ya simu katika makao makuu hayo kunasababisha gharama kubwa kwa wananchi kufuata huduma katika Makao Makuu ya Halmashauri kwani wananchi walio wengi wako eneo la Masumbwe ambapo ni zaidi ya KM 40 kutoka yalipo makao makuu.
Aidha, amesema pia changamoto nyingine iliyopo katika wilaya hiyo ni ubovu wa miundombinu ya barabara inayoenda katika makao makuu ya wilaya hiyo.
Katika kuifanyia kazi changamoto hiyo, Shigela amewalekeza TTCL kuhakikisha wanaharakisha ujenzi wa minara kwenye makao makuu hayo ya Halmashauri lakini pia kuwataka TANROAD kuweka mipango thabiti ili kuharakisha ujenzi wa barabara ili wananchi wasi_gharamike.
Katika hatua nyingine, Shigela amekagua miradi mitatu ikiwemo nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo ambayo imegharimu Sh milioni 150, nyumba za wakuu wa idara sita pamoja na hospitali ya Wilaya ya Mbogwe ambayo ujenzi wake uko katika hatua za mwisho huku ikigharimu zaidi ya Sh bilioni 2 pamoja ujenzi wa mradi wa Shule ya msingi Majengo unaojengwa kupitia mpango wa BOOST wenye thamani ya Sh milioni 540.
……
Start your home business right now. Spend more time with your family and earn. Start bringing 99Dollars per hr just on a computer. Very easy way to make your life happy and earning continuously…
.
.
.
This is where i started…>> http://remarkableincome09.blogspot.com
Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier
Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale Dodoma hoyeeeeee…
HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA
I am making over $30k a month working part time. I am a full time college student and just working for 3 to 4 hrs a day. Everybody must try this home online job now by just use this Following Website
More infor…. http://Www.Smartwork1.Com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier
Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini
“Baadhi ya mabaki hayo ni ya miili ya machifu na viongozi waliokuwa vinara katika vita vya Tanganyika dhidi ya Ujerumani (Maji Maji)”
= Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale Dodoma hoyeeeeee…
HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA
Tanzania, Ujerumani kujadili kurejesha mabaki ya miili ya Watanzania walipoteza maisha wakati wa ukoloni
| JAMHURI MEDIA
https://www.jamhurimedia.co.tz/tanzania-ujerumani-kujadili-kurejesha-mabaki-ya-miili-ya-watanzania-walipoteza-maisha-wakati-wa-ukoloni/