Mchengerwa atoa siku 27 watumishi wapya kulipwa fedha za kujikimu

DODOMA: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa ametoa siku 27 kwa Wakurugenzi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha wanalipa fedha za kujikimu kwa Watumishi wa ajira mpya za Ualimu na Afya.
Mchengerwa amesema watumishi wa ajira mpya za uwalimu na afya walioripoti vituo vyakazi kuanzia mwezi Julai, 2023 walipwe fedha zao za kujikimu kabla ya Oktoba 30, 2023.
Taarifa ya Nteghenjwa Hosseah, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini imesema kuwa Mchengerwa ametoa maagizo hayo leo Oktoba 3, 2023 na kudai kuwa tayari serikali imeshapeleka fedha kwenye kila Halmashauri kwa ajili ya kulipa stahiki za watumishi hao.
“Serikali ilishapeleka fedha katika kila halmashauri lakini inashangaza mpaka leo kuna watumishi wa ajira mpya hawajalipwa fedha za kujikimu, hii sio sawa kwa watumishi,”amesema na kuongeza
“Fedha za kujikimu ni haki ya kila mwajiriwa mpya sasa, kwanini usilipe na fedha unayo kama kuna changamoto yeyote iwasilishwe ila sio kukaa na fedha na kuacha hawa watumishi wakihangaika, walipwe mara moja.”amesisitiza Mchengerwa.
Kwa mwaka wa fedha 2022/23, Serikali iliajiri watumishi wapya wa kada ya Ualimu na Afya ambapo kwa Kada ya Ualimu ni watumishi 13,130 na Afya ni watumishi 7,192 na wote wamekwisharipoti kwenye vituo vyao vya kazi.
My last salary was $8750, only worked 12 hours a week. My longtime neighbor estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days. I can’t believe how blunt he was when I looked up
his information….. http://Www.Smartcash1.com
Conference ya wapi Wataelewa:-
· Hospitali (wapeni ugonjwa waumwe wakajadiliane)
· Mama ntilie (wape njaa wakale)
· Hotelini (tengeneza events tualike)
· Kwenye Basi (wape hela tusafiri)
· Nyumbani (mpe hele ajenge)
· Msibani (hakikisheni wanakufa na wawe na mahusiano mema)
· Kijiwe cha kahawa (wape hela waje kunywa kahawa)
· Jeshini (itisha mafunzo maalumu)
· Darasani (anzisheni elimu ya watu wazima)
Umelogwa eti?
Conference ya wapi Wataelewa:-
· Hospitali (wapeni ugonjwa waumwe wakajadiliane)
· Mama ntilie (wape njaa wakale)
· Hotelini (tengeneza events tualike)
· Kwenye Basi (wape hela tusafiri)
· Nyumbani (mpe hele ajenge)
· Msibani (hakikisheni wanakufa na wawe na mahusiano mema)
· Kijiwe cha kahawa (wape hela waje kunywa kahawa)
· Jeshini (itisha mafunzo maalumu)
· Darasani (anzisheni elimu ya watu wazima)
Umelogwa eti?…
Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA
WIZARA YA NDOTO
HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana
Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..
UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg