Mtoko upi mtamu Simba?

DAR ES SALAAM; Simba ya Dar es Salaam leo Agosti 31, 2025 imezindua rasmi jezi zao za msimu wa mwaka 2025/26, mgeni rasmi akiwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa. Vijana wa mjini wanasema huo ndiyo mtoko wa Simba. Je wewe umeona mtoko upi mtamu zaidi?

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button