Mwigulu afichua ‘madudu’ ulaji fedha za miradi

TANGA: Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amefichua namna baadhi ya watendaji wa serikali wanavyotumia ujanja kuhalalisha upotevu wa fedha katika miradi.
Dk Mwigulu alieleza hayo jana baada ya kukagua na kufanya uzinduzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kilindi ukiwa ni mwendelezo wa ziara yake iliyoanza juzi mkoani Tanga.
Alisema amebaini katika maeneo mbalimbali watendaji hao wakitumia visingizio vya fedha kutotosha kwa kuongeza gharama za utekelezaji wa miradi na kuomba nyongeza ya fedha kwenye eneo ambalo fedha ingetosha kujenga.
Aliagiza uchunguzi ufanyike kubaini kilichofanyika kusababisha fedha iliyotolewa kujenga hospitali hiyo kukamilisha majengo pungufu na waliohusika kutumia ujanja kuhalalisha upotevu huo wa fedha wakibainika wachukuliwe hatua za kinidhamu na kisheria.
“Kuna michezo naona inaendelea ya kuhalalisha upotevu wa fedha, mfano jana nilipita Handeni Mjini, jambo la VETA kugandisha mifuko ya simenti wakati Tanga kuna viwanda vya simenti eti sementi ya kujenga VETA Tanga imetoka Dar es Salaam ili kuhalalisha gharama za kujenga, tunabebesha serikali mzigo inashindwa kutoa huduma maeneo mengine kwa sababu watu wanapandisha gharama,” alisema.
Aliagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa Tanga kuharakisha upatikanaji wa taarifa kuhusu mradi huo.
“Mnajificha kwenye kichaka cha gharama, mimi nina taarifa zote. Sasa kamanda wa Takukuru fanyia uchunguzi hiki chote kilichofanyika nipate taarifa hiyo nichukue hatua, hatuwezi tukawa na watu mnapindishapindisha habari.
“Halafu fuatilia kila kitu vyote hivi fuatilia hivi vilivyopandisha gharama, hiki kichaka cha gharama fuatilia nipate taarifa na kwamba serikali haiwezi kuvumilia kuwa na watu wanaopindisha ukweli wa mambo ambayo ni ya manufaa ya wananchi,” alisema.
Aliongeza: “Hapa tutajua ni nini kimefanyika, hatuwezi kuwa Rais anahangaika kutafuta fedha halafu watu wa natengeneza vichaka vingine vya kuchelewesha huduma kwa watu, hiyo haikubaliki. Nikija nikagundua na nyinyi mmefanya hivyo kwamba simenti iko Tanga nyie mmeenda kuchukua Mbeya, nondo ziko hapa muende kuchu- kulia Mwanza, nitachukua hatua kali za kinidhamu na za kisheria.”
Awali, Dk Mwigulu alimhoji Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi, Kulwa Mgalula sababu zilizofanya baadhi ya majengo kutokamilika katika hospitali hiyo ambapo alisema walipata fedha ya kujenga majengo tisa lakini gharama za kusafirisha vifaa vya ujenzi zilikuwa kubwa. Alisema waliomba kibali
Tamisemi ili kumalizia majen- go yaliyobaki.
Aidha, Dk Mwigulu aliweka jiwe la msingi la Hos- pitali ya Wilaya ya Kilindi ambapo Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk Pendo Mang’ombe alisema ilijengwa kwa gharama ya Sh bilioni 2.64.
Alisema kati ya fedha hizo Sh bilioni 2.51 zimetoka Serikali Kuu na Sh milioni
50 ni za mapato ya ndani ya Halmashauri na Sh milioni 89.9 ni kutoka Benki ya Dunia ambapo ujenzi huo umesaidia kuwapunguzia wananchi adha na gharama kubwa za matibabu na kufuata huduma za afya mbali.
Vilevile, Dk Mwigulu alikagua mradi wa maji wa Kwamaligwa uliopo wilayani Kilindi ambao utagharimu Sh bilioni 6.98 hadi kukamilika kwake.
Alisema mradi huo unata- rajiwa kuhudumia wananchi 36,263, wakiwemo wananchi 32,641 wa Kata ya Kibirashi (vijiji sita) na wananchi 3,622 wa Kata ya Kisangasa, Kijiji cha Kwediswati.
Alisikiliza kero za wananchi wa eneo hilo ikiwa ni pamoja na tatizo la maji katika eneo la Makasini na upungufu wa walimu katika Shule ya Msingi Mgera ambayo ina walimu watatu pekee ambapo aliwataka mawaziri husika katika maeneo yote yaliyolalamikiwa kufuatilia na kuyatafutia ufumbuzi.




Here are the most polluted countries in the world based on air quality metrics:
Chad (1st): Frequently ranks as the most polluted country due to lack of sanitation, waste management, and industrial issues.
Bangladesh: Consistently ranks among the highest for PM2.5 particulate matter.
Pakistan: Faces severe air pollution, particularly in cities like Lahore.
DR Congo: Experiences high pollution from mining, waste burning, and limited waste management infrastructure.
India: Features multiple cities with extreme air pollution, including Delhi and Mullanpur.
Other highly polluted countries: Tajikistan, Bahrain, Iraq, Nepal, and Afghanistan also frequently appear in top pollution rankings.
Key Causes of High Pollution Levels:
Industrialization and Mining: Inadequate regulation of industries.
Vehicle Emissions: Older vehicles with high emissions.
Waste Management Issues: Lack of proper sewage and waste management, leading to waste burning.
Agricultural Practices: Extensive use of fertilizers and crop burning.
I just came across this amazing way to earn $6,000-$8,000 a week online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
.
Follow Here ……………………… https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
Several countries offer free or nearly free tuition at public universities for residents, EU/EEA citizens, and sometimes all international students. Top countries include Germany, Norway, Finland, Sweden, Denmark, Austria, Iceland, and Slovenia. While tuition is free, students often pay nominal semester fees (e.g., €100–€350 in Germany).
Key Countries with Free/Low-Cost Higher Education:
Germany: Public universities are generally free for all students, including non-EU nationals, with only small administrative fees.
Norway: Public higher education is free for all students, including those from outside the EU/EEA.
Finland: Free for EU/EEA and Swiss citizens; doctoral-level studies are often free for all.
Sweden: Free for EU/EEA and Swiss citizens, with PhD programs often free for all.
Denmark: Free for EU/EEA and Swiss citizens.
Austria: Free for EU/EEA students at public universities, with low fees for non-Europeans.
Iceland: Public universities are generally tuition-free for all students, requiring only an registration fee.
Czech Republic: Free for all, provided the program is taught in the Czech language.
Greece: Free for EU/EEA students, with low-cost options for others.
France: Public universities have very low, subsidized fees for all students
Several countries and specific regions offer free or nearly free land to attract residents, investors, or agricultural development. Key locations include Botswana (for citizens), Tanzania (for industrial investors in Dodoma), Pitcairn Island, and parts of the USA (such as Iowa and Minnesota). These programs often require building a home within a specific timeframe or investing in the local economy.
Botswana: Citizens can receive free land for residential use.
Tanzania: The government offers free land for investors in building/construction materials. Specific industrial plots are available in Dodoma.
Pitcairn Island: Offers free land to individuals willing to settle in this remote Pacific location, provided they build a home.
Italy: Various towns offer abandoned homes for €1 ($1), such as in Maenza, requiring renovation within a few years.
USA:
Marne, Iowa: Offers free plots for residential construction.
Manila, Iowa: Provides free lots for building homes.
Claremont, Minnesota: Offers free lots for working families to build homes.
Buffalo, New York: Offers parcels for $1, requiring 3+ years of residency.
Canada: The Yukon territory has agricultural programs, and the rural municipality of Pipestone, Manitoba, has offered land for a very low cost ($10).
Congo-Brazzaville: Offered 99-year free leases to farmers for agricultural development.
Japan: Offers, and in some cases gives away, abandoned, rural homes (Akiya) to combat aging populations
Several countries and specific regions offer free or nearly free land to attract residents, investors, or agricultural development. Key locations include Botswana (for citizens), Tanzania (for industrial investors in Dodoma), Pitcairn Island, and parts of the USA (such as Iowa and Minnesota). These programs often require building a home within a specific timeframe or investing in the local economy.
Botswana: Citizens can receive free land for residential use.
Tanzania: The government offers free land for investors in building/construction materials. Specific industrial plots are available in Dodoma.
Pitcairn Island: Offers free land to individuals willing to settle in this remote Pacific location, provided they build a home.
Italy: Various towns offer abandoned homes for €1 ($1), such as in Maenza, requiring renovation within a few years.
USA:
Marne, Iowa: Offers free plots for residential construction.
Manila, Iowa: Provides free lots for building homes.
Claremont, Minnesota: Offers free lots for working families to build homes.
Buffalo, New York: Offers parcels for $1, requiring 3+ years of residency.
Canada: The Yukon territory has agricultural programs, and the rural municipality of Pipestone, Manitoba, has offered land for a very low cost ($10)..
Congo-Brazzaville: Offered 99-year free leases to farmers for agricultural development.
Japan: Offers, and in some cases gives away, abandoned, rural homes (Akiya) to combat aging populations
Countries with Highest Total Dependency Ratios (High Fertility/Childhood Dependency)
These nations have a high proportion of children (0–14) relative to the working-age population (15–64).
Central African Republic: 105.18% (2023)
Niger: 98.16%
Somalia: 97.02%
DR Congo: ~95-100%
Chad: High child dependency
Uganda: 86.8%
Tanzania: 86.8%
Burkina Faso: 86.1%
Mozambique: 85.5%
Nigeria: 85.3%
Afghanistan: ~82.7% (notably the only non-African country in the top 30)
Countries with Highest Old-Age Dependency Ratios (Aging Populations)
These countries face high dependency due to a shrinking workforce and a large elderly population.
Japan: Highest globally, with an old-age ratio exceeding 50% (2+ workers per elderly person).
Italy: ~37%
Finland: ~37%
Key Trends
Child Dependency: Africa holds the highest ratios due to large, young populations.
Old-Age Dependency: Europe and Japan have high dependency due to aging.
Global Average: The global dependency ratio is roughly 58%
Top 10 Unhappiest Countries in 2024 (World Happiness Report)
Afghanistan (Lowest score, 1.72)
Lebanon (High economic instability)
Lesotho (Social/security challenges)
Sierra Leone (High poverty)
Congo, Democratic Republic of (Poverty, instability)
Zimbabwe (Economic hardship)
Botswana
Malawi
Eswatini
Zambia
Key Factors for Low Happiness
War & Conflict: Afghanistan and Yemen (a top least-peaceful country) face severe, ongoing conflicts.
Economic Collapse: Lebanon and Zimbabwe are suffering from hyperinflation and economic mismanagement.
Poverty & Disease: Countries like Malawi and Sierra Leone struggle with extreme poverty and health crises.
Hi tһere to all, how is eveгүthing, I think evеry one is getting more from this
website, and your views are good in support of new users.
Hеre is my page: fintechbase