Mwinyi: Hakuna atakayebaguliwa, wote ni wazanzibari

MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuwa serikali yake itaendelea kuwajali wananchi wote bila ubaguzi wa imani, asili au kundi la kijamii, akisisitiza kuwa “wote ni Wazanzibari.”
Akizungumza Oktoba 15, 2025, katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil, Kikwajuni, Dk. Mwinyi alikutana na wajane, wafuasi wa Rastafarian, pamoja na jamii za Wahindu na Ismailia, akiwaomba kura huku akiahidi maendeleo kwa wote. Alisema CCM imeendelea kuwa nguzo ya amani na mshikamano wa kitaifa, na kuwataka wananchi kuendeleza imani hiyo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29. SOMA: Wazanzibari wahimizwa kuchagua amani
I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com