Ndoinyo aahidi kutekeleza ahadi zake zote

DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Ngorongoro mkoani Arusha, Yannick Ndoinyo ameahidi kutekeleza ahadi zote alizoahidi kwa wananchi wa jimbo hilo.

Akizungumza leo nje ya ukumbi wa bunge mara baada ya kuapishwa amesema atakuwa mstari wa mbele kushirikiana na serikali kutekelezaji miradi ya serikali.

Amesema ikiwezekana bajeti ya miradi iongezeke hadi Sh bilioni 200 na hiyo ni kutokana na jiografia ya Ngorongoro kwa ujumla.

Aidha, amewataka wananch kuwa na imani na Bunge la Tanazania kwani ana uhakika watatekeleza Ilani ya CCM katika kila jimbo kwa maendeleo ya wananchi bila kubagua.

Habari Zifananazo

3 Comments

  1. I have just received my 3rd payment order and $30,000 that I have built up on my laptop in a month through an online agent…!v76) This job is good and his regular salary is much better than my normal job. Work now and start making money online yourself.
    Go here….… https://Www.Smartpay1.site

  2. I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
    .
    HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com

  3. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button