Ngajilo: Kura yenu, deni lenu kwangu

IRINGA: Kuelekea kesho, Oktoba 29 siku ya kupiga kura Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimehitimisha rasmi kampeni zake Iringa Mjini, huku mgombea wa ubunge wa chama hicho, Fadhili Ngajilo, akiwataka wananchi kujitokeza kwa wingi na mapema kupiga kura kwa amani, ili kuhakikisha ushindi wa kishindo kwa CCM.
Akizungumza na wanahabari leo, Ngajilo alisema kampeni zimekwenda vizuri na kwa mafanikio makubwa, kutokana na mapokezi chanya na ushirikiano mkubwa alioupata kutoka kwa wananchi wa kila kata, mtaa na kitongoji.
“Naomba niwashukuru wananchi wa Iringa Mjini kwa mapokezi mazuri tuliyoyapata katika kampeni zetu. Tumefanya mikutano ya hadhara, tumetembelea maeneo ya biashara, taasisi za elimu, masoko, maeneo ya ujasiriamali, na hata nyumba kwa nyumba wananchi wametupokea vizuri sana. Sasa tunawaomba kesho mjitokeze kwa wingi kutupigia kura, ili yale tuliyoahidi tuyatekeleze kwa vitendo,” alisema Ngajilo.
Aliongeza kuwa kura za wananchi zitampa nguvu na deni la kufanya kazi kwa bidii kubwa zaidi, akiahidi kuwa sauti ya wananchi bungeni, na kuwa daraja kati yao na taasisi mbalimbali za maendeleo za ndani na nje ya nchi.
“Kura yenu ndiyo itanipa nafasi ya kuwa kiungo cha huduma bora za kijamii, mlezi wa makundi ya wajasiriamali kama machinga, bodaboda na daladala. Pia nitakuwa nguzo ya usalama wa raia na mali zao, pamoja na kupambana na ukatili wa kijinsia na watoto,” aliongeza Ngajilo.
Kwa upande wake, Katibu wa CCM Manispaa ya Iringa, Hassan Makoba, naye alisema chama hicho kimefanya kampeni zake kwa siku 60 mfululizo, ikiwemo mikutano 31 ya hadhara na midogo midogo katika kila mtaa wa manispaa.
“Tunashukuru viongozi wote wa chama, wanachama na wapenzi wa CCM kwa kujitoa. Tumezunguka kila kona ya Iringa, tukiwasikiliza wananchi na kueleza sera zetu. Kesho, vituo vya kupigia kura vitafunguliwa saa mbili asubuhi, hivyo tunaomba tujitokeze mapema na kwa amani kupiga kura,” alisema Makoba.
Amesisitiza kuwa vituo vya kupigia kura vimesogezwa karibu na makazi ya watu ili kurahisisha upigaji kura, akionyesha imani kubwa kuwa CCM itapata ushindi mkubwa kutokana na mwamko na mapokezi mazuri ya wananchi.
“Tumejipanga vizuri, na tunaamini ushindi wa kesho utakuwa mkubwa na wa kihistoria. Baada ya uchaguzi, CCM itatekeleza kwa vitendo kila ilichoahidi katika kampeni hizi,” alisema.




Begin now earning every month an extra amount of $17k or more just by doing very simple and easy online job from home. I have received $18953 in my last month direct in my bank acc by doing this easy home base job just in my part time for 2 hrs maximum a day online. Even a child can now do this job and earns money online. Everybody can get this home job right now and start earning dollars online by follow details here……….
Click the link—↠ https://www.Homeprofit1.site
I’m making over $25,000 a month working part-time. I kept hearing other people talk about how much money they were making online, so I decided to look into it. Well, it’s all true and has completely changed my life. This is what I do. Check it out by visiting the following link:
COPY THIS →→→→ http://Www.Work99.Site
Begin now earning every month an extra amount of $27k or more just by doing very simple and easy online job from home. I have received $18953 in my last month direct in my bank acc by doing this easy home base job just in my part time for 2 hrs maximum a day online. Even a child can now do this job and earns money online. Everybody can get this home job right now and start earning dollars online by follow details here……….
Click the link—↠ https://www.Homeprofit1.site
I am making effectively tirelessly $15k to $20k basically by doing coordinate work at domestic. Multi month once more i have made $45890 from this development. astounding and smooth mac to do work and standard pay from this can be stupefying. i have propose each last one of you to connect this advance right specifically as moo security and get than full time compensation through take after this affiliation.
:
) AND Great Good fortune.:
)
HERE====)> https://cashprofit7.site