Maduro aanza kudhibiti usalama

VENEZUELA : RAIS wa Venezuela, Nicolas Maduro, ametia saini amri inayompa mamlaka ya ziada ya kudhibiti hali ya usalama nchini humo. Makamu wa Rais, Delcy Rodriguez, amesema amri hiyo inamruhusu Maduro kudhibiti hali ya usalama kwa muda wa siku 90, na uwezekano wa kuongezwa kulingana na katiba ya nchi.

Hatua hiyo inajiri wakati Marekani imepeleka manowari za kivita katika eneo la Caribbean, hatua ambayo serikali ya Maduro inasema ni njama ya kumuangusha madarakani, huku Washington ikidai kuwa ni sehemu ya vita dhidi ya dawa za kulevya. SOMA: Uteuzi wa Rais Maduro hali ni tete

 

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button