Rais Samia akimfariji Dk. Mwinyi

ZANZIBAR : RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk. Samia Suluhu  Hassan  akiongozana na viongozi wengine wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na mamia ya wananchi katika maziko ya kaka yake, marehemu Abbas Ali Mwinyi, aliyefariki jana.

 

 

 

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button