Rais wa Madagascar avunja serikali

MADAGASCAR : RAIS wa Madagascar, Andry Rajoelina, ameivunja serikali yake jana Jumatatu baada ya machafuko makubwa yaliyosababisha vifo vya watu 22, kulingana na taarifa zilizotolewa na Umoja wa Mataifa.

Rajoelina alitangaza hatua hiyo kupitia hotuba ya taifa kwa njia ya televisheni, akisema ameamua kusitisha shughuli za Waziri Mkuu Christian Ntsay na mawaziri wengine. Hata hivyo, wawakilishi wa serikali watabaki madarakani kwa muda hadi serikali mpya itakapoundwa.

Rais pia ametoa siku tatu za kupendekeza Waziri Mkuu mpya, akiwahakikishia raia kuwa ameyasikia madai yao na kuomba radhi kwa niaba ya watumishi wa serikali wazembe. SOMA: MSD yaitembelea taasisi mwenza ya Madagascar

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button