Ridhiwa: Serikali ya awamu 6 inajali wananchi
Katika kipindi cha nusu mwaka wa Bajeti hadi kufika Mwezi Oktoba serikali ya awamu ya sita imekwisha peleka zaidi ya Shilingi Bilioni 4.67 mkoani Mbeya ili kutekeleza miradi mbalimbali ya ardhi ikiwemo ya kupima, kupanga, na kumilikisha ardhi.