RPC Geita aonya matapeli tiba asili

GEITA; JESHI la Polisi mkoani Geita limesema limejizatiti kuhakikisha linakomesha vitendo vya utapeli, ukatili wa kijinsia na ramli chonganishi vinavyofanywa na watu mbalimbali kwa kivuli cha tiba za asili.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo ametoa kauli hiyo katika mkutano mkuu wa waganga wa tiba za asili mkoani Geita uliofanyika mjini Geita..
Amesema hatua hizo zinakuja kutokana na kuendelea kuripotiwa matukio ya vitendo visivyo vya kiungwana, vinavyofanywa na baadhi ya waganga wa tiba za asili.
Amesema hatua kubwa ya kwanza ni kuhakikisha waganga wote wa tiba za asili wanasajiliwa na kisha kuwafuatilia, kuwasaka na kuwakamata wanaodaiwa kutoa tiba za asili, huku hawataki kusajiliwa.




I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com