Rufani kupinga Sabaya kuachiwa huru kusikilizwa leo

ARUSHA; Mahakama ya Rufaa Chini ya Majaji, watatu leo inatarajiwa kusikiliza Rufaa iliyokatwa na Jamhuri kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kumwachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai ole Sabaya na wenzake wawili katika shitaka la wizi wa kutumia silaha na kujinyakulia zaidi ya Sh Milioni 2.7.

Kesi inasikilizwa na majaji watatu wakiongozwa na Mwenyekiti Jaji Jacobs Mwambegele, Jaji Ignas Kitusi na Jaji Leila Mgonya, ambapo upande wa Jamhuri umetoa sababu kadhaa za kisheria na kudai kuwa Mahakama Kuu ilikosea kumwachia huru Sabaya, kwani ushahidi ulithibitisha pasipo shaka kuwa mtuhumiwa alitenda makosa hayo.
Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier
Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini
“Baadhi ya mabaki hayo ni ya miili ya machifu na viongozi waliokuwa vinara katika vita vya Tanganyika dhidi ya Ujerumani (Maji Maji)”
= Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale Dodoma hoyeeeeee…
HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA
Tanzania, Ujerumani kujadili kurejesha mabaki ya miili ya Watanzania walipoteza maisha wakati wa ukoloni
| JAMHURI MEDIA
https://www.jamhurimedia.co.tz/tanzania-ujerumani-kujadili-kurejesha-mabaki-ya-miili-ya-watanzania-walipoteza-maisha-wakati-wa-ukoloni/
I am making over $30k a month working part time. I am a full time college student and just working for 3 to 4 hrs a day. Everybody must try this home online job now by just use this Following Website
More infor…. http://Www.Smartwork1.Com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier
Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini
“Baadhi ya mabaki hayo ni ya miili ya machifu na viongozi waliokuwa vinara katika vita vya Tanganyika dhidi ya Ujerumani (Maji Maji)”
= Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale Dodoma hoyeeeeee…
HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA
Tanzania, Ujerumani kujadili kurejesha mabaki ya miili ya Watanzania walipoteza maisha wakati wa ukoloni .
| JAMHURI MEDIA
https://www.jamhurimedia.co.tz/tanzania-ujerumani-kujadili-kurejesha-mabaki-ya-miili-ya-watanzania-walipoteza-maisha-wakati-wa-ukoloni/
Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier
Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini
“Baadhi ya mabaki hayo ni ya miili ya machifu na viongozi waliokuwa vinara katika vita vya Tanganyika dhidi ya Ujerumani (Maji Maji)”
= Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale Dodoma hoyeeeeee…
HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA
Tanzania, Ujerumani kujadili kurejesha mabaki ya miili ya Watanzania walipoteza maisha wakati wa ukoloni …..
| JAMHURI MEDIA
https://www.jamhurimedia.co.tz/tanzania-ujerumani-kujadili-kurejesha-mabaki-ya-miili-ya-watanzania-walipoteza-maisha-wakati-wa-ukoloni/
AMIGO
AMIGO..
AMIGO….
I have just received my 3rd paycheck which said that $16,285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily by just use this link.
.
.
Detail Here———————————————->>> http://Www.BizWork1.Com