Rwanda kama Tanzania, ni Sensa 2022

Kwa mara nyingine, wakati Tanzania ikifanya zoezi la Sensa ya Watu na Makazi 2022, nchini Rwanda zoezi hilo linaendalea kama kawaida ambapo Rais Paul Kagame naye ameshiriki kuhesabiwa akiwa nyumbani kwake.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button