Odemba: Mikakati, fursa zaja Sauti ya Mitindo

DAR ES SALAAM: JUKWAA la Sauti ya Mitindo Tanzania limejipanga kufanya makubwa kwa mwaka 2026, ikiwemo kuchagua wanamitindo wenye vigezo ambapo kati yao watatu watapewa kazi mataifa ya nje, lengo likiwa kukuza sekta ya mitindo nchini.
Akizungumza leo Novemba 25, 2025, mmiliki wa jukwaa hilo, mwanamitindo nguli, Miriam Odemba ameiambia HabariLeo kuwa mpango huo unalenga kufufua vipaji vya walimwende na kuunga mkono mkakati wa ajira.
“Kama mnavyofahamu kwasasa ni nguli, hivyo lazima niache alama kwa wanamitindo wanaoniangalia kama kioo cha jamii,”amesema Miriam.
Amesema mpango huo pia unalenga kuwashirikisha wabunifu mavazi ili kuangalia namna ya kupata vipaji vipya ili kuwawezesha katika ajira.
“Mpango mwingine ni ‘fashion show’ na kutafuta wadhamini kupitia Miriam Odemba Foundation,” amesema Miriam.




Google provides awesome remote work opportunities, allowing me to earn $2000-$3000 weekly with just 2-4 hours of daily work. It’s been a game-changer, offering flexibility and reliable income. If you’re seeking a genuine way to earn online, don’t miss this chance. Start today and transform your life!
.
More Details For Us →→ http://www.big.income9.com
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
Wamiliki wa Mabasi yaliokuwa yanaitwa Scandinavi – Watakiwa kuhudhuria Kikao cha Wadau wa Mabasi Nchini ili Kujua changamoto kwa nini mabasi yao hayaonekani Mtaani