DAR ES SALAAM; BEKI wa zamani wa Yanga, Sigar na Pilsner zote za Dar es Salaam, Selemani Mkati (wa kwanza kulia waliosimama), amefariki dunia. Taarifa zaidi zitakujia.


Selamani Mkati (wa kwanza kulia waliosimama) akiwa na kikosi cha Yanga mwanzoni mwa miaka ya 1990.