Serikali: Iuzieni dhahabu BoT

GEITA: NAIBU Waziri wa Madini, Dk Stephen Kiruswa ameitaka kampuni ya mgodi wa Bucreef Gold Company (BGC) kuangalia uwezekano wa kuanza kuiuzia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) dhahabu yote wanayoizalisha.

Dk Kiruswa ametoa maelekezo hayo alipotembelea mgodi huo uliopo Kata ya Lwamugasa wilayani Geita, ambapo serikali kupitia Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) inamiliki hisa kwa asilimia 45.

Amesema biashara hiyo inawezekana kwani mwezi Septemba mwaka huu, BoT ilitangaza kuanza kununua dhahabu kwa wachimbaji na wafanyabiashara wa ndani kama sehemu ya kuhifadhi fedha za kigeni.

“Rais Samia (Suluhu Hassan) mama yetu ameamua kwamba tusitegemee dola za wazungu ndio tuweke akiba ya fedha za kigeni nchini, tutumie fedha aliyotupa Mungu ambayo ipo katika madini ya dhahabu.

“Taifa letu lipo katika mchakato kuhakikisha Benki Kuu ya Taifa inaweka akiba ya dhahabu siyo chini ya tani sita kila mwaka, na hiyo dhahabu itatoka kwa achimbaji wadogo wa kati na wachimbaji wakubwa,” amesema.

Kiruswa ameelekeza Bucreef kufanya mapitio ya mikataba waliyoingia na wanunuzi wa nje na kuangalia kama haiwafungi basi waunge mkono hatua hiyo ya serikali ,ili kuiwezesha BoT kufikia malengo yake.

“Kama hiyo mikataba ina ukomo ambao umekaribia, tuiangalie ili dhahabu yote ya hapa isije ikawa inaenda nje na sisi tunatafuta dahabu ya kuisafisha iweze kubaki kwenye akiba yetu ya dhahabu nchini,” amesema.

Meneja Mkuu wa Mgodi wa Bucreef, Gaston Mjwahuzi amekiri kupokea na kuyafanyia kazi maelekezo na kueleza uamuzi wa kuuza dhahabu nje ulikuja baada ya masoko ya ndani kutostahamili biashara yao.

Amesema awali mwaka 2020 Bucreef ilianza kwa kuzalisha takribani kilogram tatu za dhahabu walikuwa wanaiuza soko la dhahabu Geita lakini uzalishaji ulipanda hadi kilogramu 30, uhitaji wa soko la nje ukaja.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MONEY OUT (UCHUMI WA MAMBO MACHAFU)
MONEY OUT (UCHUMI WA MAMBO MACHAFU)
17 days ago

BARUA YA WAZI KWA MWANAMZIKI MASHUHURI ZUCHU au UCHU

TUPO DARASANI TUNAMSUBIRI MWALIMU… HAYA MAMBO HAYATAKIWI KWA NINI YAPO KAMA NA KWA NINI YANAZUNGUMZIWA KWENYE JAMII AU WATU

1. UVAMIZI WA VIWANJA,
2. HATUNA KAZI,
3. MADAWA YA KULEVYA,
4. BANGI,
5. UMALAYA,
6. MAPENZI YA JINSIA MOJA
7. KUACHANA
8. UFISADI
9. VITA
10. ULEVI
11. MAUAJI
12. KUELEWA KAZI/MASOMO
13. KUSOMA SANA N.K
14. ubakaji
15. ulawiti
16. KUROGWA NA WAZUNGU KUPITIA MOVIE ZA PONOGRAFIA – kuwa unatakiwa ufanye

POTEKEA HIZI NDIO TAKWIMU ZA WATU WANAOJIUA KILA SIKU/WIKI/MWEZI/MWAKA/SAA/DAKIKA/SEKUNDE.. TUTAENDELEA KUHESABU

Suicide – WHO response​
Key facts​

  • More than 700 000 people die due to suicide every year.
  • For every suicide there are many more people who attempt suicide. A prior suicide attempt is an important risk factor for suicide in the general population.
  • Suicide is the fourth leading cause of death among 15–29-year-olds.
  • Seventy-seven per cent of global suicides occur in low- and middle-income countries.
  • Ingestion of pesticide, hanging and firearms are among the most common methods of suicide globally.
Capture1.JPG
Angila
Angila

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions
.
.
.
On This Website……………..> > http://remarkableincome09.blogspot.com

Thelmairanda
Thelmairanda
17 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 17 days ago by Thelmairanda
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x