Simba waachana na Robertinho

BREAKING: Simba SC imeachana na kocha Robert Oliveira ‘Robertinho’ baada ya makubaliano ya pande zote mbili kwa maana ya klabu na mhusika.

Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo kupitia mitandao ya kijamii imeeleza kuwa pia wamefikia makubaliano ya kuachana kocha wa viungo Corneille Hategekimana.

Simba wameeleza katika kipindi hiki, timu itaongozwa na kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Suleiman Matola.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Kana ushamba
Kana ushamba
25 days ago

HONGERA TBC, TBA, TBS, TIB BANK, DTB, TBL, MTB MNAFANYA NCHI INANYOOKA VYEMA..

Kana ushamba
Kana ushamba
25 days ago

HONGERA TBC, TBA, TBS, TTB, TIB BANK, DTB, TBL, MTB MNAFANYA NCHI INANYOOKA VYEMA..

Angila
Angila
24 days ago

I have just received my 3rd paycheck which said that $16285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily by
.
.
.
.
Just Use This Link……..> > > http://Www.Smartcareer1.com

Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x