Stars wakijifua kujiandaa AFCON

CAIRO, Misri; Wachezaji wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wakiwa mazoezini jijini Cairo, Misri kujiandaa na Fainali za Mataifa ya Africa (AFCON) zitakazoanza Desemba 21, 2025 nchini Morocco.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button