Tabora United yafungiwa usajili

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Ulimwenguni (FIFA) limeifungia klabu ya Tabora United kusajili mpaka itakapomlipa mchezaji wa zamani wa timu hiyo Evariste Mutambayi Kayembe baada ya kushinda kesi yake dhidi ya klabu hiyo.
–
Taarifa iliyotolewa leo Novemba 7, 2023 na Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) imeeleza mchezaji huyo raia wa DR Congo alifungua kesi madai ya malipo ya ada ya usajili na malimbikizo ya mshahara.
–
TFF imeeleza FIFA ilitoa siku 45 kwa Tabora United kumlipa mchezaji huyo hata hivyo haikutekeleza tangu hukumu hiyo ilipotolewa.
–
Wakati klabu hiyo ikijipanga kutekeleza adhabu hiyo, TFF pia imeifungia kufanya uhamisho wa wachezaji wa ndani.
I basically make about $16,000 to $20,000 a month online, and it’s enough to comfortably replace my old job’s income. What’s even more remarkable is that I only work about 10-13 hours a week, all from the convenience of my home.”
More Infor…. http://Www.Smartwork1.Com
WAWEKEZAJI WAMIMINIKA KIJIJI CHA NGURUWE DODOMA, BEN POL AWEKEZA MILIONI 8, DOTTO MAGARI MILIONI 70
WAWEKEZAJI WAMIMINIKA KIJIJI CHA NGURUWE DODOMA, BEN POL AWEKEZA MILIONI 8, DOTTO MAGARI MILIONI 70 – Full Shangwe Blog
WAWEKEZAJI WAMIMINIKA KIJIJI CHA NGURUWE DODOMA, BEN POL AWEKEZA MILIONI 8, DOTTO MAGARI MILIONI 70..
WAWEKEZAJI WAMIMINIKA KIJIJI CHA NGURUWE DODOMA, BEN POL AWEKEZA MILIONI 8, DOTTO MAGARI MILIONI 70 – Full Shangwe Blog
I have just received my 3rd paycheck which said that $16285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily by
.
.
.
.
Just Use This Link……..> > > http://Www.Smartcareer1.com