Taliban yakata mawasiliano

KABUL, Afghanistan: MAMLAKA ya Kiislam ya Taliban imeamuru kuzimwa kwa mkongo wa taifa wa intaneti nchini Afghanistan hadi pale itakapotoa tangazo jipya. Kwa mujibu wa shirika la habari la AFP, hatua hiyo itakata huduma zote za mawasiliano ya kidijitali nchini humo na kuathiri mamilioni ya wananchi.

Tangu kurejea madarakani mwaka 2021, kundi la Taliban limekuwa likitekeleza masharti na vizuizi vikali chini ya sheria kali za Kiislamu, likidai vinahitajika kudhibiti uvunjifu wa maadili. SOMA:13 wafariki tetemeko Afghanistan

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button