TANESCO boresheni mfumo wa kutoa huduma-Kapinga

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuboresha mfumo wa utoaji huduma kwa wateja ili kupunguza malalamiko na kuwapatia wananchi hao huduma ya umeme kwa wakati.
Kapinga ametoa maelekezo hayo wakati wa ziara yake ya kukagua hali ya uzalishaji wa umeme katika Kituo cha Kuzalisha Umeme Megawati 43 kwa kutumia Gesi Asilia cha Tegeta, Jijini Dar Es Salaam tarehe 2 Octoba, 2023.
Akizungumzia kituo hicho Kapinga amesema hali ya uzalishaji ni nzuri na kwamba kituo hicho kina mitambo mitano, mmoja kati ya hiyo uko kwenye matengenezo.
Amesema mfumo bora wa utoaji huduma kwa wateja hutatua changamoto ndogondogo zinazowakabili wateja majumbani kwao kama vile kuungua ama kuharibika kwa waya, Umeme kukatika, matatizo ya LUKU pamoja na kuharibika kwa Mashine.
“Haipendezi na hatutakubali mwananchi yeyote alale giza kwa sababu tu hajahudumiwa licha kuwa ametoa taarifa kutokana na changamoto inayomkabili, ama changamoto yake haijatatuliwa kwa wakati, na wakati mwingine hapati majibu sahihi juu ya changamoto yake, hivyo TANESCO imarisheni mifumo yenu ili wananchi wapate huduma kwa wakati”, Amesisitiza Kapinga.
Vilevile ameliagiza Shirika hilo kuwaunganishia umeme wananchi wote waliopo katika maeneo ambao tayari yamefikiwa na miundombinu ya umeme na uunganishwaji huo ufanyike kwa haraka na kwa wakati ili wananchi wafurahie huduma ya upatikanaji wa Umeme.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
KelleighIdelle
KelleighIdelle
2 months ago

Google paid 99 dollars an hour on the internet. ( e44q) Everything I did was basic Οnline work from comfort at home for 5-7 hours per day that I got from this office I found over the web and they paid me 100 dollars each hour. For more details
visit this article————>> http://Www.SmartCareer1.com

MAPESA1234567
MAPESA1234567
1 month ago

HE/SHE DIED WITH CARDINAL RUGAMBWA HOSPITAL DISEASE… THE HISTORY OF THIS DISEASE WAS KILLED MORE THAN 5 MILION PEOPLE AROUND THE WORLD MANY WAS CHINESE, EROPEAN, KOREAN AND INDIANS… ALL WHERE WHITE SKIN PEOPLE

Dona
Dona
Reply to  MAPESA1234567
1 month ago

I g­e­t­ o­v­e­r­ ­­2­5­k­ ­u­s­d­ ­a­ ­m­o­n­t­h­ ­w­o­r­k­i­n­g­ ­p­a­r­t­ ­t­i­m­e­.­ ­I­ ­k­e­p­t­ ­h­e­a­r­i­n­g­ ­o­t­h­e­r­ ­p­e­­o­p­l­e­ ­t­e­l­l­ ­m­e­ ­h­o­w­ ­m­u­c­h­ ­m­o­n­e­y­ ­t­h­e­y ­c­a­n­ ­m­a­k­e­ ­o­n­l­i­n­e­ ­s­o­ ­I­ ­d­e­c­i­d­e­d­ t­o l­o­o­­k ­i­n­t­o­ i­t. W­e­l­l­,­ ­i­t­ w­a­s­ ­a­l­l­ ­t­r­u­e ­a­nd h­a­s to­t­a­l­ly ch­a­n­g­e­d­ ­m­y l­i­f­e­…T­h­i­s i­s w­h­a­t I­ d­o,C­o­p­y B­e­l­l­o­w ­W­e­b­s­i­t­e

Just open the link———————->> http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Dona
MONEY
MONEY
1 month ago

KWELI WEWE JAMAA KWAKO HAKUNA BAG

TUNZA MAZINGIRA YAKUTUZE… UTAKACHOONDOA NDIO KAZI..

100% KIWEKWACHO HUMO HUTENGENEZWA NA WANAWAKE

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image004.jpg

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x