Tanga wana jambo lao leo

TANGA :MATUKIO mbalimbali yakionesha wananchi wakielekea Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kwenye mkutano wa hadhara wa Rais Samia Suluhu Hassan, ambapo leo mchana atazungumza na wananchi hao ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kikazi mkoani humo (Picha zote na Samwel Swai).

Wananchi wakielekea Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kwenye mkutano wa hadhara wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Wananchi wakielekea Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kwenye mkutano wa hadhara wa Rais Samia Suluhu Hassan..

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button