Tanzania ni sehemu salama kwa uwekezaji- Tiseza

MAMLAKA ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imesema mchakato wa Uchaguzi Mkuu haujaathiri kasi ya uwekezaji nchini.
Mkurugenzi Mkuu wa Tiseza, Gilead Teri amesema hali hiyo inaashiria imani ya wawekezaji na Watanzania kwa serikali kwamba, Tanzania ni sehemu salama kuwekeza.
Teri amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya uwekezaji nchini katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/2026 Dar es Salaam.
SOMA: Kituo cha EACLC kuongeza thamani ya biashara
“Hakujakuwa na punguzo la kasi ya uwekezaji na kwenye uchumi tunaitafsiri kama imani ambayo afanyabiashara na wawekezaji kote duniani wanayo juu ya Serikali ya Tanzania na Rais Samia Suluhu Hassan, kwamba hakutakuwa na changamoto zozote kabla, wakati na baada ya uchaguzi,” amesema.
Teri ametoa wito kwa Watanzania waendelee kuwekeza kwa kuchangamkia fursa za uwekezaji zilizopo nchini na
kushirikiana na raia wa kigeni kuwekeza ili kukuza uchumi wa taifa.
Amesema katika kuboresha na kuvutia uwekezaji katika Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (SEZs) imetenga maeneo maalumu ya uwekezaji ambayo ni Bagamoyo, Kwala, Benjamini Mkapa-Mabibo, Nala na Buzwagi na maeneo mengine yaliyotengwa katika mikoa mbalimbali.
“Kampeni hii inalenga kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika sekta za uzalishaji, huku Watanzania wakipewa fursa ya umiliki wa asilimia 100 au ubia wenye umiliki wa angalau asilimia 30,” amesema Teri.
Amesema wameweka kipaumbele katika sekta 10 zinazozalisha bidhaa za matumizi ya haraka au zinazouzika,
uzalishaji wa bidhaa za nguo, uzalishaji wa dawa, utengenezaji na uunganishaji wa magari na vipuri vyake,bidhaa za karatasi na vifaa vya ufungaji na uzalishaji wa mpira na bidhaa zake.
Ametaja sekta nyingine kuwa ni sekta za uzalishaji wa bidhaa za uundaji wa injini za magari, boti, matrekta na pikipiki, kutengeneza mashine rahisi, paneli za nishati ya jua, betri na teknolojia zingine za nishati jadidifu, vifaa vya majumbani na umeme pamoja na samani bidhaa za mbao na vifaa vya ujenzi.
Pia, Teri alisema Tiseza inatekeleza mikakati yake iliyojiwekea, ili kuongeza thamani ya sekta hiyo ambayo ni kuendelea kuhamasisha uwekezaji wa ndani na nje ya nchi, kufuatilia na kufanya tathmini ya miradi ya uwekezaji, kutoa huduma saidizi kwa wawekezaji, kuendeleza maeneo maalumu ya kiuchumi katika mikoa yote na kufanya tafiti za kiuwekezaji na ukusanyaji wa takwimu za mitaji binafsi kutoka nje ya nchi.
I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Every month, I earn over $21,000 doing an online job from home in my spare time. Last month, I earned $19,685 from this simple internet business by working just 3 hours a day on my laptop. This work-from-home opportunity is incredible, and the daily earnings far exceed those of typical 9-to-5 desk jobs. Anyone can start earning money online by following the instructions on this website…
Open this… http://Www.Work99.Site
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
Every month start earning more than $12,000 by doing very simple Online job from home.i m doing this job in my part time i have earned and received $12429 last month .I am now a good Online earner and earns enough cash for my needs. Every person can get this Online
job pop over here this site… https://Www.Salary7.Zone