TMA yashukuru uwekezaji wa Dk. Samia

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Kanda ya Magharibi imepongeza juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuwekeza katika miundombinu ya mamlaka hiyo, hatua iliyowezesha kufanikisha utabiri sahihi wa hali ya hewa kwa zaidi ya asilimia 91.7.

Meneja wa TMA Kanda ya Magharibi, Waziri Waziri, alisema uwekezaji huo umeimarisha uwezo wa mamlaka hiyo kufanya tathmini na kutoa utabiri sahihi wa hali ya hewa, hali iliyochangia kwa kiasi kikubwa kuboresha huduma kwa wananchi na wadau mbalimbali wa maendeleo.

Aidha, Bw. Waziri alisema kwa msimu wa mvua wa mwaka 2025/2026, maeneo mengi ya Kanda ya Magharibi yanatarajiwa kupata mvua za kiwango cha chini hadi cha wastani, zenye mtawanyiko usioridhisha, huku kukitarajiwa ongezeko dogo la mvua kuanzia mwezi Februari hadi Aprili 2026. SOMA: Hali ya hewa yaonya ongezeko la mvua

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
    .
    HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button