TSN, TISEZA kushirikiana kutangaza maeneo ya uwekezaji

DAR ES SALAAM; UJUMBE wa Menejimenti ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN), ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Asha Dachi, umekutana kwa mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead John Teri na maofisa wengine wa mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam leo Januari 9, 2025.

Taasisi hizo zimekubaliana kuboresha na kuendeleza ushirikiano katika kutangaza maeneo ya uwekezaji nchini.

Habari Zifananazo

One Comment

  1. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ https://Www.Jobathome1.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button