TTCL yaanza kuweka intaneti majumbani, maeneo ya wazi

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeanza kujidhatiti kupamba na mabadiliko ya kiuchumi ya kidigitali duniani kwa kuanza kutoa huduma ya intaneti majumbani na maeneo ya wazi.
Mkurugenzi wa Biashara TTCL ,Vedastus Mwita amesema hayo leo jijini Arusha alipohudhuria kikao cha Mashirika ya Umma, Taasisi za Serikali na Binafsi.
Mwita alisema kuwa TTCL imejipanga kuhakikisha intaneti inapatikana majumbani na maeneo ya wazi ili kumwezesha mwananchi kupata mawasiliano popote alipo na hilo limewezekana kwa shirika hilo kuweka huduma hiyo katika Mlima Kilimanjaro na intaneti kuwa na kasi kubwa.
Alisema shirika hilo limeweza kuweka huduma hiyo katika kilele cha Mlima Kilimanjaro na kufanya watalii wengi wanaopanda mlima huo kufurahia huduma ya intaneti kileleni.
Mkurugenzi wa Biashara Nchini wa Kampuni ya Mawasiliano ya TTCL ,Vedastus Mwita
Mkurugenzi huyo alisema kuwa baada ya kufanikiwa kwa asilimia kubwa kuweka Mkongo wa Taifa katika Mlima Kilimanjaro na kupata huduma ya intaneti katika mlima huo sasa TTCL imekuja na huduma nyingine ya kuweka huduma hiyo katika makazi ya watu yaani majumbani na maeneo ya wazi kama vile nyumbani ,sokoni ,stendi ,maeneo ya starehe na bei zimezingatia kipato cha mtanzania wa hali ya chini.
Alisema na kusisitiza TTCL inaunga mkono mabadiliko yatakayokuja kwani yatakuwa na jita kwa taifa na wao walishabadilika muda mrefu hivyo ujio wa mabadiliko hayo kwao sio kitu kipya bali ni kuongeza ufanisi zaidi kwani shirika hilo lilipewa cheti cha kuaminika kwa kutunza data duniani.
Mkurugenzi Mwita alisema wamekuwa wakifanya vizuri katika kutunza data na kusafirisha hivyo mipango iliyopo ya TTCL ya kutoa huduma ya Internet nyumbani na maeneo ya wazi yatakuwa ya viwango vya hali ya juu kwani shirika hilo limejipanga kikamilifu.
Banda la TCCL
‘’Tuna uthubutu wa kufanya vizuri katika kufunga Internet majumbani na maeneo ya wazi kwani Mkongo wa Taifa uliofungwa una uwezo mkubwa wa mawasiliano’’
‘’Niwatoe wasiwasi wananchi juu ya hilo kwani TTCL imejipanga kikamilifu kutoa huduma ya Interner mahali popote na kwa wakati wowote bila kujali hali ya hewa’’alisema Mwita.
Mkurugenzi wa Biashara Nchini,Vedastus Mwita akiwa nje ya ukumbi wa AICC
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) ,Professa Frederick Kahimba alisema kuwa iwapo TTCL wanafanikiwa katika kuweka intaneti majumbani na maeneo ya wazi na mawasiliano hayo yakawa na nguvu nzuri huenda shirika hilo likaweza kuongeza imani kwa watanzania tofauti na awali.
Wakurugenzi mkutanoni
Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Detail Here—————————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Orodha ya mademu wanaotakiwa kuingia kwenye ka Game ka zali la Mtaliii
• Wabunge wa viti Maalumu.
• Watumishi wa umma wanawake na viongozi wa Serikali.
• Watumishi wanawake wa Banki za CRDB,NMB, AZANIA, DCB.
Tupo huku tunaaminishwa kuwa kuna kazi mbaya duniani ipo siku tutawapata kirahisi kabisa.- KUWA MKARI SANA
Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
· Mgodi wa Dhahabu
· Mgodi wa Almas
· Mgodi wa Gas
· Mgodi wa Uranium
· Mgodi wa Mafuta
· Mgodi wa Makaa ya mawe
· Mgodi wa Tanzanite
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023
Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
· Mgodi wa Dhahabu
· Mgodi wa Almas(Kampuni ya Petra Diamond Ltd)
· Mgodi wa Gas
· Mgodi wa Uranium
· Mgodi wa Mafuta
· Mgodi wa Makaa ya mawe
· Mgodi wa Tanzanite
· Mgodi wa Uchimbaji Madini na Mawe
· Ujenzi wa vituo vitatu vya umahiri
· Masoko ya madini
· Kampuni ya Mahenge Resources Limited (Black Rock Mining Ltd)
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023
My last month paycheck was for 11000 dollars… All i did was simple online work from comfort at home for 3-4 hours/day that I got from this agency I discovered over the internet and they paid me for it 95 bucks every hour…..>
.
.
Detail Here——————————>>> https://www.pay.salary49.com
Waganga wa kienyeji TZ
Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?
Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.
Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya
Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.
Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino
Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.
Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu.
Waganga wa kienyeji TZ
Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?
Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.
Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya
Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.
Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino
Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.
Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu…..
Waganga wa kienyeji TZ
Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?
Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.
Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya
Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.
Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino
Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.
Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu……….
Waganga wa kienyeji TZ
Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?
Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.
Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya
Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.
Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino
Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.
Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu……..