Vikao Kamati za Kudumu za Bunge kuanza Jan 13

VIKAO vya Kamati za Kudumu za Bunge vinatarajiwa kuanza Januari 13 hadi 23, 2026 jijini Dodoma.

Taarifa ya Bunge imesema vikao hivyo ni kwa ajili ya maandalizi ya Mkutano wa Pili wa Bunge unaotarajiwa kuanza Januari 27, 2026.

Imesema shughuli zilizopangwa kutekelezwa na kamati hizo ni pamoja na uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti, kamati kuzifahamu wizara na taasisi zote na baadhi ya sera na sheria kulingana na majukumu ya kila kamati, kamati kupitishwa kwenye majukumu yake ya msingi na kamati ya bajeti kufanya maandalizi ya hoja zitakazojadiliwa na Bunge.

Habari Zifananazo

3 Comments

  1. l Get paid over $110 per hour working from home. l never thought I’d be able to do it but my buddy makes over $21269 a month doing this and she convinced me to try. The possibility with this is endless….

    This is what I do………………………………….. https://Www.Cash54.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com

  3. Google provides awesome remote work opportunities, allowing me to earn $2000-$3000 weekly with just 2-4 hours of daily work. It’s been a game-changer, offering flexibility and reliable income. If you’re seeking a genuine way to earn online, don’t miss this chance. Start today and transform your life!
    .
    More Details For Us →→ http://www.big.income9.com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button