Vituo vya nishati vyachochea maendeleo ya uchumi

DAR ES SALAAM :ZAIDI ya vituo 10 vya huduma jumuishi vikiwemo vya nishati vimejengwa nchini kwa kipindi cha miezi kumi huku vituo hivyo vikitajwa kusaidia kuchochea maendeleo pamoja na kasi ya ukuaji wa uchumi nchini.
Akizungunza jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa kituo jumuishi cha huduma za nishati cha Puma Mbezi Beach Mkurugenzi wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania Fatmah Abdallah amesema vituo hivyo vimejengwa sehemu mbalimbali nchini ambapo vimesaidia kusogeza huduma za nishati hasa mafuta na gesi hivyo kuwasaidia wananchi.
Kwa upande wake Benedict Ndunguru Mkuu Kitengo cha biashara Puma amesema hatua ya uzinduzi wa kituo hicho cha mbezi beach ni katika kuunga mkono jitihada za serikali za kusogeza huduma za nishati karibu na wananchi ili kupunguza safari ndefu ya kufuata huduma za nishati mbali na maeneo yao.
Nao baadhi ya wananchi wanaotumia huduma za nishati Gifta Mlacha na Asma Abdala wameshukuru kutokana na huduma kusogezwa huku wakitaka kampuni nyingine nazo kuiga mfano wa kusogeza huduma kwa jamii.
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com