Viwanja vipya kuibua vipaji Zanzibar

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea na mageuzi makubwa ya michezo kwa kujenga na kukarabati viwanja vya kisasa ili kukuza vipaji, kuandaa wataalamu na kuiandaa Zanzibar kushiriki mashindano ya kimataifa ikiwemo AFCON 2027.

Dk. Mwinyi alitoa kauli hiyo alipofungua kiwanja kipya cha michezo cha kisasa kilichopo Kitope, Mkoa wa Kaskazini Unguja, Septemba 9, 2025. Amesema tayari ukarabati wa viwanja vya Amani Complex, Mao Tse Tung na Gombani umekamilika, huku viwanja vipya vikijengwa Kizimkazi (viti 21,000), Fumba (viti 31,000) pamoja na viwanja 17 vya mikoa na wilaya.

Aidha, Dk. Mwinyi alibainisha kuwa michezo ni nyenzo muhimu ya kuibua vipaji, kutoa ajira, kukuza utalii na kudumisha utamaduni, sambamba na kuhakikisha ushiriki wa vijana, wanawake na makundi maalum katika mazingira rafiki na salama. SOMA: Uwanja wa kisasa wakamilika Zanzibar

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.

    This is my main concern……………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. I just worked part-time from my apartment for 5 weeks, but I made $30,030. I lost my former business and was soon worn out. Thank goodness, I found this employment online and I was able to Haa start working from home right away. This top career is achievable by everyone, and it will improve their online revenue by:.
    .
    EXTRA DETAILS HERE:>>> https://work99.site

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button