Washindi 8 wa Maokoto wapatikana

WASHINDI 8 wa kwanza wa Kampeni ya Maokoto Chini ya Kizibo wamepatikana.
Washindi hao wamepatikana kupitia promosheni ya bia ya Serengeti, ambapo Meneja wa Chapa ya Serengeti Premium Larger na Serengeti Lite, Ester Raphael, akiwa na Balozi wa Maokoto Ndani ya Kizibo, Billnas walitangaza washindi hao.
Meneja huyo amewataja washindi hao kuwa ni Rajabu Bakari, Waziri Jamali, Amina Haji, Joachim Kimario, Angel Edward, Melina Fransis, Geofrey John na Selemani Kibiki ambao kila mmoja ameshinda Sh 500,000.
Akizungumza wakati wa kutangaza washindi hao, Bilnass ametoa wito kwa wananchi kuchangamkia fursa ya kushiriki kampeni hiyo.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Surprising! I’ve been making 100 Dollars an hour since I started freelance on the Internet six months ago. I work long hours a day from home and do the basic work that I get from the business I met online. share this work for you opportunity This is definitely the best job I have ever done………
…
…
…Go To This Link…………… > > > > http://Www.Smartcareer1.com