Watu 435,119 kupiga kura Arusha Mjini

ARUSHA: Watu 435,119 wanatarajia kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, kwenye vituo vya kupiga kura 1,051 Jimbo la Arusha Mjini.
Aidha, kwa mpiga kura aliyepoteza kadi yake na ambaye aliandikishwa katika daftari la kudumu la wapigakura ataruhusiwa kupiga kura kwenye kituo alichopangiwa akiwa na leseni ya udereva, hati ya kusafiria au kutambilisho cha NIDA.
Lakini pia majina ya kitambulisho mbadala atakachowasilisha ambacho majina yanapaswa kufanana na yaliyomo katika daftari la kudumu la mpiga kura.
Akizungumza na wanahabari jana jijini Arusha, Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Arusha Mjini, Shaban Manyama amesema vituo vilivyotumika kuandikisha wapiga kura ndivyo vitakavyotumika kupiga kura ambavyo vitafunguliwa saa 1 asubuhi na kufungwa saa 12 jioni.
I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com