Yanga yapewa Mamelod, Simba dhidi ya Al-Ahly

SIMBA imepangwa kukutana na Al-Ahly ya Misri wakati Yanga ikiangukia mikononi mwa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika michezo yao ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu.

Timu zitaanzia nyumbani, mechi zitachezwa kati ya Machi 29-31 na kurudiana kati ya Aprili 5-7, 2024.

ROBO FAINALI

Advertisement

Simba SC vs Al Ahly

TP Mazembe vs Petro Atletico

Esperance vs ASEC Mimosas

Yanga SC vs Mamelodi Sundowns

NUSU FAINALI

Esperance/ASEC vs Yanga/Mamelodi

TP Mazembe/Petro Atletico vs Simba/Al Ahly