Mtanzania ang’ara mbio za magari Rwanda

RWANDA; Dereva wa mbio za magari kutoka Tanzania, Ahmed Huwel, ameshika nafasi ya pili katika mashindano ya Rwanda Mountain Gorilla Rally, ikiwa ni sehemu ya Mashindano ya Afrika ya Mbio za Magari (African Rally Championship – ARC) yaliyofanyika nchini Rwanda mwishoni mwa wiki.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Rwanda, Huwel pia alivutia mashabiki kwa kuweka rekodi ya kuruka kwa umbali mkubwa kuliko madereva wengi walioshiriki kmashindano hayo, akionesha uwezo mkubwa wa kuendesha katika njia zenye changamoto.

Ushindi huo unaendelea kuthibitisha ubora wa dereva huyo katika mbio za kimataifa za magari.

#HabarileoUPDATES

Habari Zifananazo

11 Comments

  1. I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
    This is what I do…..    https://www.work27.info

  2. I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
    This is what I do…..    https://www.work27.info

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button