Year: 2025

Biashara

Usafiri wa mwendokasi waanza Mbagala

HUDUMA za usafi ri wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kutoka Mbagala kwenda Posta na Gerezani imerejea jana baada ya kusitishwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Viongozi watakiwa kupambana wizi wa umeme

VIONGOZI wa serikali za mitaa na madiwani wametakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana na wizi wa umeme ili kuzuia uharibifu…

Soma Zaidi »
Afya

Halmashauri zitenge bajeti ya chakula mashuleni

ILI taifa lifanikiwe katika kupambana na athari za lishe duni, watoto wenye umri wa miaka sita hadi 15 wasiachwe nyuma…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Tuipe ushirikiano Tume ya Uchunguzi

RAIS Samia Suluhu Hassan ameteua na kuizindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na…

Soma Zaidi »
Biashara

Chongolo aahidi kutimiza malengo Wizara ya Kilimo

WAZIRI wa Kilimo, Daniel Chongolo ameieleza menejimenti na watumishi wa wizara hiyo kuwa kazi na malengo yaliyopangwa yatafi kiwa kwa…

Soma Zaidi »
Africa

SADC yazindua Mkakati wa Mawasiliano 2025/2030

JUMUIYA ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji ya mwaka 2025/2030 ili kuimarisha mawasiliano, uhusiano…

Soma Zaidi »
Uchumi

Shirika la kimataifa kuendeleza ushirikiano miradi na Tanzania

SHIRIKA la Maendeleo ya Mfuko wa Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UNDCF) limekubali kuendelea kushirikiana na Tanzania katika kutekeleza Programu…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Dk Mwinyi apokea kitabu cha kampeni Uchaguzi Mkuu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amepokea Kitabu Maalumu chenye mkusanyiko wa habari picha…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Mchakamchaka nafasi za umeya CCM waanza

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) leo kinafunga pazia la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya meya, naibu meya na wenyeviti wa…

Soma Zaidi »
Biashara

Vijana watakiwa kutumia hotuba ya rais kupata suluhu

VIJANA nchini wametakiwa kuijadili na kuitumia hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan wakati akizindua Bunge la 13 kama suluhu ya…

Soma Zaidi »
Back to top button