Year: 2025

Chaguzi

Tume Uchunguzi vurugu Oktoba 29 yazinduliwa

RAIS Samia Suluhu Hassan amezindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliotokea wakati na baada ya…

Soma Zaidi »
Featured

Waziri Mkuu akutana na Katibu TEC

DAR ES SALAAM; Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, leo Novemba 20, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa…

Soma Zaidi »
Fedha

Vicoba bila usajili ni kuitafuta jela

DODOMA: Kuendesha shughuli za huduma ndogo za fedha ( VICOBA ) bila usajili kutoka Benki Kuu ya Tanzania ni kosa…

Soma Zaidi »
Uchumi

Ukarabati wa uwanja wa ndege Tabora wafikia 98%

WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amepongeza kiwango cha kisasa cha jengo jipya la abiria katika Uwanja wa Ndege wa…

Soma Zaidi »
Featured

Omolo Katibu Mkuu Wizara ya Vijana, Dk Mapana Naibu

DAR ES SALAAM; RAIS Dk Samia Suluhu Hassan amemteua Jenifa Omolo kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana.…

Soma Zaidi »
Infographics

Tanzania, UNDCF kuendelea kushirikiana LoCAL II

SHIRIKA la Maendeleo ya Mfuko wa Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UNDCF) limekubali kuendelea kushirikiana na Tanzania katika kutekeleza Programu…

Soma Zaidi »
Dodoma

Waziri Ndejembi akabidhiwa ofisi

WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi leo Novemba 20, 2025, amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

NEMC yashiriki UNFCCC COP-30

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki Mkutano wa thelathini wa nchi wanachama wa Mkataba wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Dk Kijaji akabidhiwa ofisi, tayari kuanza kazi

DODOMA: Waziri wa Maliasili na Utalii Dk, Ashatu Kijaji amekabidhiwa rasmi ofisi na mtangulizi wake Balozi Dk, Pindi Chana tayari…

Soma Zaidi »
Tanzania

Maopareta Jeshi la Magereza waaswa weledi

MKUU wa Jeshi la Magereza Tanzania CGP Jeremiah Yoram Katungu, ametoa wito kwa Maafisa na askari wataalam wa simu za…

Soma Zaidi »
Back to top button