Year: 2025

Kanda

Wazee Tanga waasa vijana

Wazee jijini Tanga wamewashauri vijana kuacha mihemko katika maamuzi badala yake wasikilize ushauri wa watu waliowazidi umri ambao wana ukomavu…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wella : Mradi wa Kiloleni ukamilike Desemba

MKUU wa Wilaya ya Tabora, Upendo Wella, amewaagiza wasimamizi wa mradi wa ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya Shule ya…

Soma Zaidi »
Jifunze Kiswahili

Jifunze Kiswahili

  Kiti cha urais Meaning (English):“Kiti cha urais” means “the presidential seat/office”. It refers to the position, authority, or role…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mzumbe yashauriwa kujipanga kimataifa elimu ya juu

CHUO Kikuu Mzumbe (MU) kilichopo mkoani Morogoro kimeshauriwa kuimarisha uhusiano na mashirikiano kimataifa ili kiweze kupata wanafunzi kutoka nje ya…

Soma Zaidi »
Featured

Mzize atwaa Tuzo ya Goli Bora la Mwaka CAF

MOROCCO; MSHAMBULIAJI wa Yanga ya Dar es Salaam, Clement Mzize ametwaa Tuzo ya Goli Bora la Mwaka inayotolewa na Shirikisho…

Soma Zaidi »
Tanzania

Machumu ateuliwa Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amemteua Bakari Steven Machumu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu,…

Soma Zaidi »
Kanda

Watuhumiwa 93 wa vurugu za uchaguzi wafikishwa mahakamani Mwanza

KESI inayowakabili watuhumiwa 93 kati ya 172 wanaodaiwa kuhusika katika matukio ya uhalifu yaliyotokea wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Kopa: Msiangalie mabaya ya wasanii tu

DAR ES SALAAM:MSANII nguli wa muziki wa taarabu nchini, Khadija Kopa, amewataka watengeneza maudhui na wanahabari wa mitandaoni kuacha kuangazia…

Soma Zaidi »
Tanzania

Yaliyojiri Mkutano wa Kwanza Bunge la 13

WIKI iliyopita, naweza kusema ilikuwa Wiki ya Bunge la 13 tangu Novemba 8 hadi 14, 2025. Katika kipindi hicho, wabunge…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

‘Uzinduzi WCX kuimarisha uchumi kidijitali’

Dar es Salaam; KUZINDULIWA kwa Jukwaa la Wingu Cloud Exchange (WCX) kumeelezwa kutaimarisha kwa kiasi kikubwa uchumi wa kidijitali. Hatua…

Soma Zaidi »
Back to top button