Man Fongo kutetea haki za wanawake watoto

MSANII wa singeli Man Fongo ameweka wazi kuwa anaandaa nyimbo zenye ujumbe maalum wa kutetea haki za Wanawake na Watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia.
Man Fongo amesema hayo katika mjadala ulioandaliwa na UNICEF kwa kushirikiana na Sauti za Busara, uliojikita katika namna wasanii wanavyoweza kutumia sauti na ushawishi wao kukemea ukatili na kutetea haki za wanawake na watoto.
Mjadala huo uliwakutanisha wasanii, wadau wa sanaa na wataalamu wa ulinzi wa watoto kutoka UNICEF, kwa lengo la kuhimiza utengenezaji wa kazi zitakazoishi vizazi na vizazi. SOMA: Dulla Makabila aweka rekodi mpya




Start working at home with Google! It’s by-far the best job I’ve had. Last Wednesday I got a getting a check for $19400 this – 4 weeks past. I began this 8-months ago and immediately was bringing home at least $220 per hour. I work through this link, go to tech tab for work detail..
Open This Website——≻≻≻≻≻www.hot.cash54.com