Azam yakwama na pointi tisa

MOROCCO; AZAM imemaliza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa na pointi tisa, lakini imekwama kutinga robo fainali.

Azam leo imepoteza mchezo wake wa mwisho hatua ya makundi kwa kufungwa mabao 2-0 na Wydad nchini Morocco, ambapo sasa Wydad imemaliza kinara kundi hilo ikiwa na pointi 15, ikifuatiwa na AS Maniema Union yenye pointi 12 baada ya leo kuifunga Nairobi United mabao 3-0.

Azam imemaliza ya tatu katika Kundi B ikiwa na pointi 12 na Nairobi United yenyewe imemaliza ya mwisho kwenye kundi hilo bila pointi.

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. I just came across this amazing way to earn $6,000-$8,000 a week online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
    .
    Follow Here ……………………… https://Www.Cash54.Com

  2. I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…

    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button