Serikali yaitaka MUHAS kujizatiti tafiti magonjwa adimu

DAR ES SALAAM: Serikali imewataka wataalamu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kujizatiti kusoma na kufanya tafiti za kina kuhusu magonjwa adimu ili kusaidia kubaini chanzo chake, njia za matibabu na namna ya kuyadhibiti kwa ufanisi nchini.

Hatua hiyo itaimarisha mifumo ya huduma za afya kupitia tafiti ili kuhakikisha wagonjwa wenye magonjwa adimu wanapata huduma stahiki kwa wakati.

Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Grace Magembe ametoa rai hiyo Machi 4 wakati akifungua Kongamano la 16 la kusambaza matokeo ya tafiti za magonjwa adimu lililofanyika chuoni hapo jijini Dar es Salaam.

“Serikali inayapa uzito stahiki magonjwa haya adimu, ili tuweze kuyashughulikia kwa kina na upana wake, kwa kushirikiana na Taasisi kama Ali Kimara, sekta mashirika na sekta binafsi tutawafikia watoto wengi zaidi,” alisema Dk Magembe.

Aidha, Dk Magembe amesema hadi kufikia Desemba mwaka 2025 zaidi ya wataalamu wa afya 200 katika vituo 14 walikuwa wamepatiwa mafunzo ya kuanzisha vitengo vya tiba ya magonjwa adimu ikiwemo ‘hemofilia’ kuanzia ngazi ya msingi.

“Serikali imeshachukua hatua za kujenga uwezo wa maabara yetu ya taifa, mafunzo kwa wataalamu wa afya na kuanzisha vitengo maalumu vya matibabu ya magonjwa adimu kuanzia ngazi ya msingi zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya,” alisema Dk Magembe.

Kongamano hilo limewakutanisha wataalamu wa afya, watafiti, watunga sera, wawakilishi wa wagonjwa pamoja na wadau mbalimbali kujadili changamoto na fursa zilizopo katika kushughulikia magonjwa adimu nchini Tanzania.

Kwa upande wake, Kaimu Makamu Mkuu wa MUHAS, Prof. Emmanuel Balandya alisema kongamano hilo linalolenga kuimarisha mjadala, kubadilishana uzoefu na kuibua mapendekezo yatakayosaidia kuboresha utambuzi, matibabu na ubora wa maisha ya wagonjwa.

Aliongeza kuwa chuo hicho kina wajibu wa kuendeleza elimu, tafiti na ubunifu katika eneo la magonjwa adimu, hasa ikizingatiwa changamoto ya upatikanaji mdogo wa vipimo vya vinasaba na gharama kubwa za uchunguzi.

Aidha, katika kuunga mkono juhudi za utafiti na uelimishaji kuhusu magonjwa adimu, Ali Kimara Rare Diseases Foundation walitoa msaada wa fedha kwa ajili ya kusaidia kufanikisha tafiti zinazohusu masuala ya magonjwa adimu.

Kongamano hilo limeandaliwa na MUHAS kwa kushirikiana na Taasisi ya Ali Kimara Rare Disease Foundation (AKRDF).

Habari Zifananazo

5 Comments

  1. **TANGAZO LA AJIRA – WAHARIRI WA KITABU**

    Kampuni ya **WAJA** iliyopo **Buza, Dar es Salaam**, inawatangazia wananchi nafasi za **Ajira za Wahariri** kwa ajili ya kuhariri kitabu kinachoitwa:

    **“NAMTEGEMEA MKE WANGU KULEA MTOTO WANGU – KULAANIWA TENA.”**

    Kwaya nzuri kabisa

    https://www.youtube.com/watch?v=haWJnbndZvU&list=RDhaWJnbndZvU&start_radio=1

    ### Majukumu ya Kazi

    * Kuhariri maandishi ya kitabu ili kuhakikisha **lugha, sarufi na tahajia** vinakuwa sahihi.
    * Kuboresha **mtiririko wa hadithi na uelewa wa maudhui kwa wasomaji**.
    * Kurekebisha makosa ya **uandishi na mpangilio wa sentensi**.
    * Kushirikiana na mwandishi ili kuboresha **ubora wa maudhui ya kitabu** kabla ya kuchapishwa.

    ### Sifa za Mwombaji

    * Awe na **ujuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili sanifu**.
    * Awe na **uzoefu katika uhariri wa vitabu, makala au maandishi ya fasihi**.
    * Awe **mwenye umakini na uwajibikaji kazini**.
    * Elimu ya **Lugha ya Kiswahili, Mawasiliano, Uandishi wa Habari au taaluma zinazofanana** itakuwa faida.

    ### Mahali pa Kazi

    Ofisi za Kampuni ya WAJA – **Buza, Dar es Salaam**.

    ### Namna ya Kutuma Maombi

    Waombaji wanatakiwa kuwasilisha:

    * **Barua ya maombi ya kazi**
    * **Wasifu binafsi (CV)**
    * Mfano wa kazi yoyote ya **uhariri au uandishi** kama ipo

    Maombi yawasilishwe katika ofisi za **Kampuni ya WAJA – Buza, Dar es Salaam** au kupitia mawasiliano ya kampuni.

    ### Mwisho wa Kupokea Maombi

    Tarehe ya mwisho ya kutuma maombi itatangazwa na kampuni.

    **Imetolewa na:**
    **KAMPUNI YA WAJA**
    Buza – Dar es Salaam

    1. I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
      .
      HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com

    2. I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…

      .
      M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com

  2. **TANGAZO LA AJIRA – WAHARIRI WA KITABU**

    Kampuni ya **WAJA** iliyopo **Buza, Dar es Salaam**, inawatangazia wananchi nafasi za **Ajira za Wahariri** kwa ajili ya kuhariri kitabu kinachoitwa:

    **“NAMTEGEMEA MKE WANGU KULEA MTOTO WANGU – KULAANIWA TENA.”**

    Kwaya nzuri kabisa

    https://www.youtube.com/watch?v=haWJnbndZvU&list=RDhaWJnbndZvU&start_radio=1

    ### Majukumu ya Kazi

    * Kuhariri maandishi ya kitabu ili kuhakikisha **lugha, sarufi na tahajia** vinakuwa sahihi.
    * Kuboresha **mtiririko wa hadithi na uelewa wa maudhui kwa wasomaji**.
    * Kurekebisha makosa ya **uandishi na mpangilio wa sentensi**.
    * Kushirikiana na mwandishi ili kuboresha **ubora wa maudhui ya kitabu** kabla ya kuchapishwa.

    ### Sifa za Mwombaji

    * Awe na **ujuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili sanifu**.
    * Awe na **uzoefu katika uhariri wa vitabu, makala au maandishi ya fasihi**.
    * Awe **mwenye umakini na uwajibikaji kazini**.
    * Elimu ya **Lugha ya Kiswahili, Mawasiliano, Uandishi wa Habari au taaluma zinazofanana** itakuwa faida.

    ### Mahali pa Kazi

    Ofisi za Kampuni ya WAJA – **Buza, Dar es Salaam**.

    ### Namna ya Kutuma Maombi

    Waombaji wanatakiwa kuwasilisha:

    * **Barua ya maombi ya kazi**
    * **Wasifu binafsi (CV)**
    * Mfano wa kazi yoyote ya **uhariri au uandishi** kama ipo

    Maombi yawasilishwe katika ofisi za **Kampuni ya WAJA – Buza, Dar es Salaam** au kupitia mawasiliano ya kampuni.

    ### Mwisho wa Kupokea Maombi

    Tarehe ya mwisho ya kutuma maombi itatangazwa na kampuni.

    **Imetolewa na:**
    **KAMPUNI YA WAJA**
    Buza – Dar es Salaam

  3. **TANGAZO LA AJIRA – WAHARIRI WA KITABU**

    Kampuni ya **WAJA** iliyopo **Buza, Dar es Salaam**, inawatangazia wananchi nafasi za **Ajira za Wahariri** kwa ajili ya kuhariri kitabu kinachoitwa:

    **“NAMTEGEMEA MKE WANGU KULEA MTOTO WANGU – KULAANIWA TENA.”**

    Kwaya nzuri kabisa.

    https://www.youtube.com/watch?v=haWJnbndZvU&list=RDhaWJnbndZvU&start_radio=1

    ### Majukumu ya Kazi

    * Kuhariri maandishi ya kitabu ili kuhakikisha **lugha, sarufi na tahajia** vinakuwa sahihi.
    * Kuboresha **mtiririko wa hadithi na uelewa wa maudhui kwa wasomaji**.
    * Kurekebisha makosa ya **uandishi na mpangilio wa sentensi**.
    * Kushirikiana na mwandishi ili kuboresha **ubora wa maudhui ya kitabu** kabla ya kuchapishwa.

    ### Sifa za Mwombaji

    * Awe na **ujuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili sanifu**.
    * Awe na **uzoefu katika uhariri wa vitabu, makala au maandishi ya fasihi**.
    * Awe **mwenye umakini na uwajibikaji kazini**.
    * Elimu ya **Lugha ya Kiswahili, Mawasiliano, Uandishi wa Habari au taaluma zinazofanana** itakuwa faida.

    ### Mahali pa Kazi

    Ofisi za Kampuni ya WAJA – **Buza, Dar es Salaam**.

    ### Namna ya Kutuma Maombi

    Waombaji wanatakiwa kuwasilisha:

    * **Barua ya maombi ya kazi**
    * **Wasifu binafsi (CV)**
    * Mfano wa kazi yoyote ya **uhariri au uandishi** kama ipo

    Maombi yawasilishwe katika ofisi za **Kampuni ya WAJA – Buza, Dar es Salaam** au kupitia mawasiliano ya kampuni.

    ### Mwisho wa Kupokea Maombi

    Tarehe ya mwisho ya kutuma maombi itatangazwa na kampuni.

    **Imetolewa na:**
    **KAMPUNI YA WAJA**
    Buza – Dar es Salaam

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button