Sheikh ahimiza umoja kusimamia haki duniani

DAR ES SALAAM: SHEIKH Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu wa Shia nchini, Hemed Jalala, ametoa wito kwa Waislamu duniani kote kuimarisha umoja ili kusimamia haki za watu, akisisitiza kuwa mshikamano ni muhimu kupinga dhuluma maeneo mbalimbali duniani.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya ya kimataifa ya Quds, ambayo hufanyika kila Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, Jalala amesema umoja wa Waislamu ni msingi muhimu katika kulinda utu na haki za binadamu.

Amesema wito huo pia uliwahi kusisitizwa na aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Khamenei, ambaye mara nyingi amehimiza Waislamu kuwa kitu kimoja katika kusimamia haki za watu wanaodhulumiwa duniani.
“Moja ya malengo makubwa ni kuhakikisha Waislamu wanakuwa kitu kimoja katika kusimamia haki za wanaodhulumiwa duniani,” amesema Jalala.
Aidha, alikumbusha dunia kuwa amani na utulivu ni mambo muhimu kwa ustawi wa jamii, akionya kuwa vitendo vya dhuluma na kumwaga damu vinavyoendelea katika maeneo mbalimbali vinaathiri ustawi wa binadamu.

Ametaja maeneo yanayokumbwa na migogoro ikiwemo Gaza, Palestine, Lebanon na Iraq, akisema hali hiyo inaonesha namna dhuluma ilivyoendelea kutawala katika baadhi ya sehemu za dunia.
“Tunawakumbusha walimwengu kuwa dhuluma ni kitu kinachopaswa kuondolewa, huku tukihimiza kuenzi utu, umoja wa Waislamu na umoja wa kitaifa,” alisisitiza.
Aliongeza kuwa maadhimisho ya International Quds Day yanatoa fursa kwa Waislamu na jamii kwa ujumla kukumbushana umuhimu wa kusimamia haki, amani na mshikamano wa watu duniani.
Kwa upande wake,Mkuu wa Chuo Cha Jamia Al Mustafa International Sayyid Arif Naqvi amesema wanafahamu kuwa wanaoteseka zaidi katika migogoro hiyo ni watoto na wanawake.
“Tumekusanyika hapa kupigania haki yao ili waweze kuishi kwa amani kama binadamu wengine,” amesema.




Many people in the United States and other parts of the world have lost their regular occupations. This was terrible, and I understand how you felt when you had no money left for your family. But I’m here to give a simple method that will fix all of your money issues right now. Working from home might earn you more than $15k each month simply by remaining at home. So, for further information, go to this website immediately and start earning right away………..
GOOD LUCK. ==-…………………………….-=>>) https://earnsmartwithus.netlify.app/
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 12000-16700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern…………………… http://Www.Cash54.Com
I just came across this amazing way to earn $11,000-$15,000 a month online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
.
This is what I do…………………… http://Www.Payathome9.Com
Many people in the United States and other parts of the world have lost their regular occupations. This was terrible, and I understand how you felt when you had no money left for your family. But I’m here to give a simple method that will fix all of your money issues right now. Working from home might earn you more than $15k each month simply by remaining at home. So, for further information, go to this website immediately and start earning right away………..
GOOD LUCK. ==-…………………………….-=>>) https://earnsmartwithus.netlify.app/
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she kaz convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website
HERE—————www.work27.online
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
More Details For Us →→→→→→→ www.work27.online
My income reached $17,620 last month, thanks to a flexible online job. It’s astonishing how easy it is to get started and see real results. I spend my mornings working and still have the whole day to relax. The extra money has made a big difference in my financial situation. It’s a fantastic way to boost your income without overworking yourself..
Visit This…… www.work27.online