Trending

Rais Samia: Taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri

DAR ES SALAAM — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.

Katika salamu zake za rambirambi, Rais Samia alisema Lukuvi alikuwa mtumishi wa umma mwenye uzoefu mkubwa aliyelitumikia taifa kwa uadilifu, weledi na kujitolea, huku mchango wake katika maendeleo ya nchi ukiendelea kukumbukwa.

Ametoa pole kwa Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, familia ya marehemu, wananchi wa Jimbo la Isimani pamoja na Watanzania wote.

Rais Samia ameomba Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 12000-16700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern…………………… http://Www.Cash54.Com

  2. I just came across this amazing way to earn $11,000-$15,000 a month online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
    .
    This is what I do…………………… http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button