KIbadeni awahimiza vijana kulinda amani

MCHEZAJI wa zamani wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Klabu ya Simba, Abdallah Kibadeni ‘Mputa’, amewataka vijana kote nchini kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na serikali badala ya kujihusisha na vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani ya nchi.
Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani. Ameongeza kuwa michezo ni daraja muhimu la kuwaunganisha watu, hivyo amewahimiza wanamichezo kuwa mstari wa mbele katika kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa kulinda amani ya nchi. SOMA: Tusipoamka tutaendelea kushangilia mafanikio ya kina Pacome




Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…
THIS→→→→ https://Www.FindJobs1.Site
I started this as a simple side hustle, and last month I made a little over $6,137 just working a few hours a day from my phone. If you want to check out how it works, the website has all the details. Here—>> http://www.giftpay7.vip