Kumekucha maandalizi mkutano CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania Dk Samia Suluhu, leo amekagua maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 10 wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika Desemba 7-8, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button