Washindi Tuzo ya Mwalimu Nyerere Watangazwa

WASHINDI wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu wametangazwa katika hafla ya nne ya utoaji wa tuzo hizo iliyofanyika Aprili 13, 2026 katika Ukumbi wa The Super Dome, jijini Dar es Salaam.
Katika matokeo hayo, Hamisi Kibari ameibuka mshindi wa kwanza katika kipengele cha tamthiliya, huku Bishop Hiluka akishika nafasi ya kwanza katika kipengele cha riwaya. Aidha, Abdalla Ngereza ameshinda katika kipengele cha ushairi, wakati Amina Mohamed aliibuka mshindi wa kwanza katika kipengele cha hadithi za watoto.

Tuzo hizo zinalenga kukuza matumizi ya lugha ya Kiswahili na kuendeleza fasihi nchini kupitia tanzu kuu nne ambazo ni riwaya, ushairi, tamthiliya na hadithi za watoto. SOMA: Serikali Yatenga Bil.4.2 Tuzo ya Uandishi




Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…
THIS→→→→ https://Www.FindJobs1.Site