Msigwa awataka wanahabari kulinda amani

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewataka waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuhamasisha amani, umoja, mshikamano na maridhiano kwa manufaa ya taifa.
Akizungumza katika mkutano ulioandaliwa na Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na Idara ya Habari ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Msigwa amesema vyombo vya habari vina nguvu kubwa katika kuathiri mwelekeo wa jamii, hivyo vinapaswa kutumika kwa uwajibikaji.

Ameeleza kuwa tasnia ya habari ina mchango mkubwa katika kuhamasisha maendeleo ya wananchi na kufanikisha malengo ya taifa, ikiwemo Dira ya Maendeleo 2050. Msigwa alibainisha kuwa serikali imefanya maboresho ya kisheria ili kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari, akimpongeza Samia Suluhu Hassan kwa juhudi za kuboresha mazingira ya kazi kwa wanahabari.
Aidha, alionya kuwa matumizi mabaya ya vyombo vya habari yanaweza kusambaza taarifa za uchochezi na kuhatarisha amani ya nchi. SOMA: Wale ambao hawana Ithibati watupishe




Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…
THIS→→→→ https://Www.FindJobs1.Site
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she kaz convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website
HERE——— http://www.giftpay7.vip
Google paid $200 a hour on the internet..my close relative has been without labor for nine months and the earlier month her compensation check was $51005 by working at home for 10 hours a day….. Everybody must try this job now by just use this
GOOD LUCK.:)
Here is I started_____ ⫸www.work27.online