Wale ambao hawana Ithibati watupishe

KAIMU Mkurugenzi wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Patrick Kipangula, amewakumbusha waandishi wa habari kuzingatia maadili ya taaluma yao ili kulinda amani na mshikamano wa jamii.
Akizungumza katika mkutano ulioandaliwa na Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na Idara ya Habari ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Kipangula amesema kuwa uandishi usiozingatia maadili unaweza kusababisha athari kubwa kwa jamii. SOMA: Vijana Waibeba Ajenda ya Amani
Amesisitiza umuhimu wa kuripoti kwa tahadhari masuala nyeti, yakiwemo migogoro ya kisiasa, kikabila na kidini, akibainisha kuwa taarifa zisizoandaliwa kwa umakini zinaweza kuchochea migogoro na kuleta madhara makubwa.




Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…
THIS→→→→ https://Www.FindJobs1.Site
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she kaz convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website
HERE——— http://www.giftpay7.vip
I’m making $23000 to $29000 a month working part time. I kept hearing other people tell me how much money they ws can make online so I decided to look into it. Well, it was all true and has totally changed my life. First month i received $24758 just working on the laptop for 3 hours per day.
This is what I do…………www.work27.online