RC afurahishwa Kiswahili kupandishwa Mlima Kilimajaro

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu ameipongeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa juhudi zake za kuendeleza lugha ya Kiswahili ikiwa ni pamoja na kupandisha bendera ya Kiswahili kilele cha Mlima Kilimanjaro.

Babu ametoa pongezi hizo wakati akiwapokea Mabalozi, wanajeshi, viongozi wa serikali pamoja na wananchi kutoka taasisi mbalimbali waliopanda Mlima Kilimanjaro kuadhimisha miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

Katika maadhimisho hayo, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ilipandisha bendera ya kuhamasisha matumizi ya Kiswahili iliyokuwa na ujumbe, ‘Kiswahili Kileleni’.

“Kiswahili ni moja ya tunu ya Taifa na sisi kama Watanzania lazima tujivunie lugha yetu. Mabalozi wananafasi nzuri zaidi ya kutangaza Kiswahili chetu katika nchi wanazotuwakilisha hivyo watumie fursa hii kujionea vivutio vyetu ili wavitangaze vyema pamoja na lugha yetu ya Kiswahili,” alisema Babu.

Mkuu huyo wa Mkoa pia alisisitiza juu ya matumizi sahihi ya lugha ya Kiswahili badala ya kuchanganya Kiswahili na lugha zingine.

Kwa upande wake Seleman Chamshama mtumishi kutoka Idara ya Elimu Maalum, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ambaye alishirikiana na mwenzake, Nestory Owano waliowezesha kufikisha bendera hiyo ya Kiswahili kileleni mwa Mlima Kilimanjaro amewashkuru viongozi wa wizara hiyo kuwapatia nafasi na heshima ya kuweka historia ya kupandisha kileleni bendera hiyo ya Kiswahili.

Amesema kuwa lengo la kupandisha bendera hiyo ya Kiswahili ni kuenzi juhudu za Baba wa Taifa, Hayati Mwal. Julius Nyerere katika aliyetamani kuona Kiswahili kikizungumzwa zaidi na matifa mbalimbali barani Afrika na duniani kote.

“Kwa kupandisha pia bendera hii ya Kiswahili ni kuenzi kazi kubwa inayofanywa na Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anakitangaza Kiswahili kwenye ziara zake mbalimbali za nje ya nchi hivyo hatuna budi kumuunga mkono kwa kila mtu kwa nafasi yake,” amesema Chamshama.

Naye Mratibu wa Elimu Kikanda na Kimataifa, Hilda Bukozo amewashukuru wadau wote walioshirikiana kufanikisha zoezi hilo na kuhamasisha ushirikiano zaidi katika kutangaza Kiswahili ndani nan je ya nchi.

Jumla ya wapanda mlima 200 walipanda mlima huo kuanzia tarehe Desemba 5 mpaka 10 kuadhimisha sherehe za miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara ambao husherehekewa kila ifikapo Desemba 9, kila mwaka.

Habari Zifananazo

36 Comments

  1. Everyone loves what you guys are usually up too. Such clever work and reporting! Keep up the wonderful works guys I’ve added you guys to my personal blogroll.

  2. Howdy! I know this is somewhat off topic but I
    was wondering which blog platform are you using for this website?

    I’m getting tired of WordPress because I’ve had issues with hackers and I’m looking at alternatives for another platform.
    I would be fantastic if you could point me in the direction of a good platform.

  3. Usually I do not read article on blogs, however I wish to say that this write-up very compelled me to check out and do it! Your writing style has been surprised me. Thanks, quite great post.

  4. Howdy! This is kind of off topic but I need some help from an established blog. Is it very difficult to set up your own blog? I’m not very techincal but I can figure things out pretty quick. I’m thinking about setting up my own but I’m not sure where to start. Do you have any ideas or suggestions? Appreciate it

  5. Hi there! I could have sworn I’ve been to this site before but after reading through some of the post I realized it’s new to me. Nonetheless, I’m definitely happy I found it and I’ll be bookmarking and checking back often!

  6. Good blog you have got here.. It’s hard to find good quality writing like yours these days. I really appreciate individuals like you! Take care!!

  7. I have been browsing online more than three hours today, yet I never found any interesting article like yours. It’s pretty worth enough for me. In my view, if all webmasters and bloggers made good content as you did, the web will be much more useful than ever before.

  8. Nice post. I used to be checking continuously this blog and I am impressed! Extremely helpful information particularly the final phase 🙂 I maintain such information much. I used to be looking for this particular info for a long time. Thank you and best of luck.

  9. I have been exploring for a little for any high-quality articles or weblog posts on this kind of house . Exploring in Yahoo I finally stumbled upon this site. Studying this information So i’m happy to convey that I have an incredibly good uncanny feeling I found out exactly what I needed. I so much for sure will make certain to don?t omit this site and give it a look regularly.

  10. Wow, marvelous blog layout! How long have you been blogging for? you make blogging look easy. The overall look of your website is wonderful, let alone the content!

  11. Hello there, I found your blog by way of Google even as looking for a similar topic, your website got here up, it seems to be good. I have bookmarked it in my google bookmarks

  12. I’ve been surfing on-line greater than three hours nowadays, yet I by no means discovered any interesting article like yours. It’s pretty price sufficient for me. In my view, if all website owners and bloggers made good content as you did, the web will likely be a lot more helpful than ever before.

  13. Hey there, You’ve done a fantastic job. I’ll certainly digg it and in my view suggest to my friends. I’m sure they’ll be benefited from this web site.

  14. Excellent post. I was checking constantly this weblog and I am inspired! Very helpful information particularly the ultimate section 🙂 I deal with such info much. I was seeking this certain information for a very lengthy time. Thanks and best of luck.

  15. Today, while I was at work, my cousin stole my iphone and tested to see if it can survive a thirty
    foot drop, just so she can be a youtube sensation. My apple ipad is now destroyed and she has
    83 views. I know this is entirely off topic but I had to share it
    with someone!

  16. Hi, I do believe this is a great blog. I stumbledupon it 😉 I may come back yet again since i have book marked it. Money and freedom is the best way to change, may you be rich and continue to guide other people.

  17. Hi, Neat post. There’s an issue along with your site in web explorer, might check this? IE nonetheless is the marketplace leader and a big portion of people will miss your great writing because of this problem.

  18. Woah! I’m really digging the template/theme of this blog. It’s simple, yet effective. A lot of times it’s tough to get that “perfect balance” between user friendliness and appearance. I must say you have done a amazing job with this. Also, the blog loads super fast for me on Firefox. Exceptional Blog!

  19. It’s the best time to make some plans for the future and it is time to be happy. I’ve read this post and if I could I wish to suggest you some interesting things or tips. Perhaps you can write next articles referring to this article. I wish to read more things about it!

  20. Your style is very unique in comparison to other
    people I have read stuff from. I appreciate you for posting when you have the opportunity, Guess I will
    just book mark this page.

  21. Hi! I’ve been following your blog for a long time now and finally got the bravery to go ahead and give you a shout out from Lubbock Tx! Just wanted to tell you keep up the good work!

  22. Good post. I learn something totally new and challenging on blogs I stumbleupon on a daily basis. It will always be interesting to read articles from other authors and use something from other web sites.

  23. Hello there, I discovered your site by way of Google whilst searching for a similar topic, your web site got here up, it seems great. I’ve bookmarked it in my google bookmarks

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button