Dulla Makabila aitwa Basata kuhusu wimbo Pita Huku
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata, limemtaka msanii Abdallah Ahmed ‘Dullah Makabila’ kufika katika ofisi za baraza hilo kujadili wimbo wake mpya uitwao Pita Huku, ambao unaendelea kushika nafasi ya kwanza ‘Youtube’.
Taarifa ya kuitwa kwa msanii huyo imetolewa na Katibu Mtendaji wa Basata, Dk Kedmon Mapana iliyosema: ‘Basata inapenda kuwajulisha kwamba kutakuwa na kikao kitakachofanyika tarehe 21/12/2022 siku ya Jumatano, ajenda ya kikao ni kujadili kuhusiana na wimbo wako wa Pita Huku”.-
Kupitia akaunti yake ya Instagram, Makabila amethibitisha kupokea barua hiyo: “Nimepokea barua ya wito kutoka Basata, ambayo inahusu wimbo wangu mpya wa Pita Huku, wito nimeupokea na nitafika leo nyie ni walezi wangu katika shughuli zangu za sanaa.-
“Mashabiki zangu asanteni Kwa kuufanya wimbo wetu wa Pita Huku kuwa trending number moja huko mjini Youtube, tuendelee kufuatilia kazi nzuri,” ameongeza Makabila.



Thanks for sharing. I read many of your blog posts, cool, your blog is very good.
Hawa Basata kila wimbo ukivuma tu lazima waupangie foleni ya kuitwa ofisini. Inabidi wamuache Dulla afanye kazi yake maana ngoma inahitaji sana heshima ya YouTube.
still waiting on this verification.
Basata always shows up the moment a song actually starts trending.
imagine hitting number one on youtube just to get a summons from basata
I’ve been staring at this verification screen for way too long.
Getting summoned by Basata just because you’re trending on YouTube is wild.
typical basata. can’t let a song hit number one without calling the artist in for a chat.
Basata can’t let a song hit number one on YouTube without trying to interfere.
Basata only seems to care once a song actually starts trending on YouTube.
Basata always does this as soon as a song actually starts trending.
Basata really can’t let a song hit #1 without calling the artist in for a meeting.
Basata always shows up the second a song starts trending on youtube.
Typical Basata, waiting until a song hits number one on YouTube before calling the artist in.
Stuck on this verification loop again, honestly just ruins the whole experience.
Basata wameanza tena zao za kila siku, wimbo ukiwa trending tu lazima watafute sababu ya kuitana ofisini. Hiyo ngoma inatamba sana, hawawezi kumuacha apumue.
Basata really can’t let a song hit number one on YouTube without trying to interfere.