Ray awapa somo wasanii chipukizi
MSANII wa filamu nchini Vincent Kigosi ‘Ray’, amewaasa wasanii chipukizi kufanya kazi kwa bidii bila kujali maslahi, bali
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Ray amesema kuwa wasanii wengi wachanga ukiwatafuta wafanye kazi wanatanguliza zaidi fedha, badala ya kujali nafai aliyopewa.
“Nilikuwa nafanya kazi mwezi mzima narekodi tu, nalipwa shilingi 5,000 sikuumia kwa sababu nilikuwa najua natengeneza jina langu, ambalo sikutaka kupoteza nafasi, hadi sasa jina ndio linanisaidia kuendesha maisha ya kila siku na familia yangu.
“Ningesema niangalie maslahi msingenijua kama Ray, tulifika kipindi tuliitwa hadi wauza sura, lakini sasa hivi kila mtu anatamani kuwa muigizaji, awe na majina kama sisi,” amesema Ray.




Nataman kuw msanii mkubwa
Natamani kuw mwanamziki mkubwa kipaji ninacho ila sina hela ya kuingia studio naomben msaada wenu watanzania